Wadau,
Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi vya siasa.
Kwa mujibu wa katiba iliyopo bunge lazima liwe na Kambi Rasmi ya Upinzani, Mkuu wa Kambi, Mnadhimu Mkuu na Mawaziri Vivuli.
Tumeshuhudia Bunge lililopo halina Kambi Rasmi ya Upinzani
Halina Mnadhimu Mkuu
Halina Mawaziri Vivuli
Halina...