Njia pekee ya kuacha aibu ni kufanyia mazoezi.
Fanya mazoezi ya kuwa jasiri utakavyo.
Fanya mazoezi kwa wanawake wengi uwezavyo.
Ongea chochote na wanawake wengi uwezavyo. Huna cha kupoteza wakati unafanya mazoezi.
Kama utasoma haya na hufanyi mazoezi ni kazi bure.
Pia baada ya muda utaachana na...