ukoma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kante mp2025

    Wagonga ulimbo mapenzi tuyaepuke kama ukoma

    Nayasema haya nikiwa na simanzi moyoni hasa nikiwa katika wakati ambao mbili haisomi moja haisomi. Hii naomba iwafikie wagonga ulimbo wote asee kama bado kula yako tu ni ya kuunga unga kama ngedere mapenzi yaepuke ikibidi uyakimbie kwa sauti ya nyanda kabudi mzee wa ogopaaaaaaa Amesema...
  2. kipara kipya

    Kwa haya majibu ya lissu itoshe kusema Chadema ni wa kuogopwa kama ukoma

    Ifike mahali tuwaache wapasuane wavuane nguo hawa ni genge la wahuni, Genge la watu wasio na busara je hii vita ya maneno ni uenyekiti tu au kuna jengine limejificha, Lissu yupo kwenye koma ya hasira ameamua kurusha kila silaha bila staha lissu hana tofauti na slaa ile siku ya hotuba yake serena...
  3. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Mwanamke anayeweza kujihatarisha yeye mwenyewe Kwa kutoa mimba muogope kama ukoma!

    Waswahili wanasema sikio la kufa halisikii dawa. Ndivyo walivyo baadhi ya wanaume ni kenge haswa kusikia kwao Hadi Damu masikioni iwatoke. Hapo Sasa ndo ataanza kushituka. Ukweli ni kwamba mwanamke anayeweza kumeza vidoge(dawa) Ili au kiumbe kilicho ndani ya tumbo lake mwenyewe ni wakugopwa...
  4. Erythrocyte

    Waandishi wa Habari waliogombea Ubunge kupitia CCM 2020 waepukwe kama Ukoma, hawawezi kutenda haki

    Hii ni Taarifa ninayoielekeza kwa CHADEMA, chama Pekee cha Upinzani Nchini Tanzania, kwamba 2020 kwenye ule ulioitwa Uchaguzi waandishi wengi wa habari wa vyombo vinavyoitwa binafsi, waligombea ubunge kupitia CCM , Huku wakiendelea kutumikia vyombo hivyo na wakiendelea kutangaza habari za...
  5. Hance Mtanashati

    Watu aina ya Doto Magari ni wa kuwaepuka kama ukoma!

    Kwani watu ombaomba na wanafki ila huyu doto magari amezidi. Huyu jamaa akishajua upo vizuri kipesa basi tegemea kila utakapokutana naye lazima akuombee hela usipompa tu kosa, lazima akakutangaze vibaya kwa watu. Miongoni mwa watu wasiomkubali huyu jamaa ni Marioo, Dj Ally Bi, Diamond Platnumz...
  6. kmbwembwe

    Wanasheria upande wa mafisadi ni wa kuogopa kama ukoma

    Katika suala la kukodisha bandari zetu tujifunze kitu kimoja kikubwa. Kwamba taaluma ya sheria inapotumiwa na mafisadi ni hatari kama ukoma kwenye jamii. Siku moja tu imepita tumewasikia wanasheria wizara ya ujenzi na uchukuzi wakiwa na waziri wao wakijaribu kutetea uamuzi wa serikali kutaka...
  7. D

    Ukiona mtu anayeamini kuwa yeye ndo ana akili peke yake muogope kama ukoma

    Nimekuwa nikimsikia Slaa kila mara akimsema yeyote anayempinga kuhusu upotoshaji wake eti siyo size yake. Majuzi tu alimwambia rostam Aziz eti siyo size yake na Leo kamwambia Feleshi eti siyo size yake na ikumbukwe aneshamwambia Nape eti siyo size yake na kuna siku alimwambia Zitto eti siyo size...
  8. Pascal Mayalla

    Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

    Wanabodi, Leo asubuhi hii waheshimiwa wabunge wetu, wataujadili mkataba wa IGA ( Intergovernmental Agreement), na baada ya hapo ndipo HGA ( Host Government Agreement) zitaingiwa kati ya TPA na DPW baada ya IGA kupitishwa. IGA kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai, kuruhusu kampuni...
  9. The Burning Spear

    Mbunge Msukuma ni wa kuogopwa kama ukoma, ni bendera fata upepo na mchumia tumbo

    Wakati taifa likihangaika na matatizo ya hapa na pale, serikali imemua kutumia baadhi ya wapiga propaganda/chawa wake kusema uongo. Ikumbukwe Msukuma ni kati ya wabunge waliyokuwa upande wa JPM na hata baada ya kufa walitumia nguvu nyingi sana kumtetea. CCM iliona hilo na kujua huyu bwana...
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    Ukoma wa Dodoma unavyoliathiri Taifa

    Yaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi. Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi? Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi...
  11. M

    Heri ya Lyatonga Mrema ana uzalendo kuliko Mbowe na Zitto

    Wana njaa sana na wao pesa mbele. Wapo tayari kuuza watu kisa pesa tu. Ni mamluki wa CCM ambao hawana uchungu na taifa lao. Wapo kwa ajili ya matumbo yao. Bora Mrema anapinga ufisadi kwa dhati
  12. Makirita Amani

    Kama unataka kuondoka kwenye umasikini, waepuke masikini kama ukoma

    Rafiki yangu mpendwa, Hivi unajua ya kwamba umasikini huwa unaambukizwa kama magonjwa yanayoambukizwa? Ndiyo, hiyo ni kweli kabisa, pale unapokaa na masikini, wanakusababisha uendelee kubaki kwenye umasikini. Huenda kwa kusoma sentensi hizo chache umejisikia vibaya, umenichukulia mbaguzi na...
  13. B

    Kuelekea Katiba Mpya, ukweli anaougopa CCM kuliko ukoma

    Inafahamika kuwa katiba mpya ndiyo ulio mwisho wa CCM kuwa madarakani. Kwenye katiba mpya CCM ni wepesi kama KANU Kenya au UNIP Zambia. Hawatakaa waikubali hali hiyo. Ni hivyo hivyo kwa ZANU PF Zimbabwe, RPF Rwanda au NRM Uganda. Bila usawa na haki hawana madaraka. Kwa sababu hiyo safari ya...
  14. 100 others

    Ogopa kama ukoma wanawake wanaokuambia fulani (Rafiki yako) kanitongoza

    Wakuu habari za majukumu? Wanaume wenzangu huwa inatokea sana kwenye mahusiano kuambiwa na mwanamke uliyenae katika mahusiano "kaka yako kanitongoza" au "rafiki yako ananitongoza", kwa kweli nimejifunza mengi kutoka kwa hili na ninaongea nina uhakika. Wanawake wana tabia ya ku manipulate akili...
  15. Wizara ya Afya Tanzania

    Mganga Mkuu wa Serikali: Tumeongeza uwezo wa kugundua wagonjwa wapya wa Kifua Kikuu

    Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi Na Englibert Kayombo WAMJW - Dodoma Serikali ya Tanzania imeazimia kutokomeza kabisa ugonjwa wa kifua kikuu kwa kuongeza uwezo wa ugunduzi wa wagonjwa wapya wa kifua kikuu na kuwaweka kwenye matibabu. Kauli hiyo imetolewa na Mganga Mkuu wa Serikali...
Back
Top Bottom