Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) is a political party in Tanzania. Hashim Spunda Rungwe, chairman of CHAUMMA since 2014, was the first politician in the party's history to run for president when he stood in the 2015 Tanzanian general election. Many CHAUMMA members were previously aligned with NCCR-Mageuzi, including Rungwe, who unsuccessfully contested for president as the NCCR-Mageuzi candidate in the 2010 Tanzanian general election. Rungwe states that CHAUMMA's participation in elections depends on whether the dominant political party, CCM, allows an even playing field for opposition parties. The party's main objectives are increasing happiness, decreasing unemployment, and revitalizing the economy.
Kwamba hawa nao tumawapa majukwaa ya kisiasa na kuwashangilia?
Kwamba tuna hata wenye kujidhania kuwa ni wenye hoja kuliko hata wenye CV zao zinazojulikana kimataifa?
Kwamba tumefikia hatua ya kuwaacha hata wapuuzi kuwanyanyapaa wenye akili zao?
Na Bado tupo tupo tunakenua? Ama kwa hakika...
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Mimi binafsi nipo tayari kumwaga damu yangu Kwa ajili ya hili taifa, najua ipo siku nitakufa kwanini niogope kifo wakati huyo atakayenishoot na yeye ipo siku atakufa pia?
Tunaona serikali inatuibia, tuzinduke usingizini tunaibiwa na wakufanya hii hali ipotee...