Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imesema imepokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya wateja kuhusu vikomo vya malipo na miamala kwa akaunti za M-Pesa.
Kupitia taarifa yake kwa Umma, kampuni hii imetoa taarifa kuwa M-Pesa Limited inafanya kazi chini ya leseni kutoka Benki Kuu ya Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.