Angalizo: mimi sio daktari wa wanawake na wala sio mtaalamu wa kiswahili
Hii ni maada ambayo haiongelewi kwa upana wake nchini, yawezekana ni sababu ya kukosa maarifa, au watu wanaona kawaida na kuishi na maumivu yao kama nyakati ambazo hakukua na suluhu au wengi wa wanawake hawapitii hayo...