ukosefu huduma ya maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO TUWASA kuweni na huruma, maji hayatoki Kata ya Mwinyi - Tabora, yakitoka ni machafu

    HIvi nyie Watu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tabora (TUWASA) hapa Tabora huwa mnachukuliaje Wananchi? Tangu wiki iliyopita Kata ya Mwinyi hakuna huduma za maji na hata yanapotoka yanakuwa machafu na yanatoka kwa muda mfupi, mnataka Watu tuishije! Mwinyi iko Manispaa ya Tabora...
  2. DAWASA: Kutakuwa na ukosefu wa huduma ya maji siku ya Jumanne Julai 16, 2024 kwa muda wa saa 15 kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 3 usiku

    14.7.2024 Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wateja na Wananchi wanaohudumiwa na mtambo wa kuzalisha Maji Ruvu Juu kuwa, kutakuwa na ukosefu wa huduma ya maji siku ya Jumanne Julai 16 ,2024 kwa muda wa saa 15 kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 3 usiku...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…