ukosefu wa huduma za maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Pwani na Dar wapata Upungufu wa Maji kutokana na hitilafu ya Umeme Mtambo wa Ruvu Juu

    TAARIFA KWA UMMA 29.8.2024 UPUNGUFU WA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MIKOA YA DAR ES SALAAM NA PWANI Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wateja na wananchi wa Mikoa ya Dar es salaam na Pwani kuwa kumekuwa na upungufu wa huduma ya maji kutokana na...
  2. A

    KERO Tatizo la maji kitongoji cha Uuwo Kati, Kijiji cha Uuwo, kata ya mwika kaskazini, Moshi Vijijini Kilimanjaro

    Naandika Tatizo hili nikilia maana ni mwaka na zaidi sasa wazazi wangu wanateseka na maji. Ukiangalia tupo karibu ya vyanzo vya maji alafu watu wachache wanafaidi sisi wa hali ya chini tunateseka. Mwaka jana walifanya kuweka mfumo mpya wa bomba za plastiki mitaani wakasema wakikamilisha wote...
Back
Top Bottom