Shule ya msingi Sabaga ipo Mkoa wa Kigoma wilaya ya Kasulu vijijini, Shule hii ina zaidi ya wanafunzi 1,567 na kuna vyumba 8 tu ya madarasa, Licha ya uhaba wa madarasa pia kuna uhaba mkubwa wa madawati licha ya viongozi mbalimbali kufika na kujionea hali halisi lkn hakuna hatua madhubuti ambayo...
John Nchimbi Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Mbeya amesema katika jiji hilo, hakuta kuwa na mwanafunzi atakayekaa chini kwa kukosa madawati baada ya miaka mitatu.
"Tunataka Mbeya iwe ya mfano kwenye Miradi ya Elimu, kwa Mapato ya ndani tuliyonayo tunakuhakikishia kuwa hakuna mtoto ambaye...
Shule ya Msingi Muvinza iliyopo Kata ya Kagerankanda, Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma ina changamoto ya upungufu mkubwa wa madarasa na madawati hali nayowafanya wanafunzi wengi kusoma nje na wengine kusoma wakiwa wamekaa chini katika madarasa machache yaliyopo.
Wanafunzi ambao wameanza elimu ya...
adolf mkenda
amavubi gfsonwin
elimu
ikulu
king'asti asprin
kusikitisha
kwenda
madarasa
malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli
rais
rais samia
ukatili
ukosefuwamadawati
video
wanafunzi
watoto wetu
waziri
yanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.