Shule ya msingi Sabaga ipo Mkoa wa Kigoma wilaya ya Kasulu vijijini, Shule hii ina zaidi ya wanafunzi 1,567 na kuna vyumba 8 tu ya madarasa, Licha ya uhaba wa madarasa pia kuna uhaba mkubwa wa madawati licha ya viongozi mbalimbali kufika na kujionea hali halisi lkn hakuna hatua madhubuti ambayo...