Naam wakuu,nimejiuliza hili swali baada kufuatilia mwenendo wa ufanyaji kazi wa kituo Cha televisheni kinachomilikiwa na msanii diamond,hasa nikilinganisha na kiwango Cha usikivu wa kituo hicho kwa miezi iliyopita
Kwa upande wa redio, yaani wasafi FM huko sijafuatilia, kama msanii mkubwa kama...