ukraine vs russia

On 24 February 2022, Russia invaded Ukraine in a major escalation of the Russo-Ukrainian War, which started in 2014. The invasion, the largest conflict in Europe since World War II, has caused hundreds of thousands of military casualties and tens of thousands of Ukrainian civilian casualties. As of 2024, Russian troops are occupying about 20% of Ukraine. From a population of 41 million, about 8 million Ukrainians had been internally displaced and more than 8.2 million had fled the country by April 2023, creating Europe's largest refugee crisis since World War II.
In late 2021, Russia massed troops near Ukraine's borders but denied any plan to attack. On 24 February 2022, Russian president Vladimir Putin announced a "special military operation", stating that it was to support the Russian-backed breakaway republics of Donetsk and Luhansk, whose paramilitary forces had been fighting Ukraine in the Donbas conflict since 2014. Putin espoused irredentist views challenging Ukraine's right to exist, falsely claimed that Ukraine was governed by neo-Nazis persecuting the Russian minority, and said that Russia's goal was to "demilitarise and denazify" Ukraine. Russian air strikes and a ground invasion were launched on a northern front from Belarus towards Kyiv, a southern front from Crimea, and an eastern front from the Donbas and towards Kharkiv. Ukraine enacted martial law, ordered a general mobilisation and severed diplomatic relations with Russia.
Russian troops retreated from the northern front, including from the outskirts of Kyiv, by April 2022 after encountering logistical challenges and stiff resistance. On the southern and southeastern fronts, Russia captured Kherson in March and Mariupol in May, the latter after a destructive siege. Russia launched a renewed offensive in the Donbas and continued to bomb military and civilian targets far from the front, including the energy grid through the winter months. In late 2022, Ukraine launched successful counteroffensives in the south and east. Soon after, Russia announced the illegal annexation of four partly-occupied oblasts. In November, Ukraine retook parts of Kherson Oblast, including Kherson city. In June 2023, Ukraine launched another counteroffensive in the southeast, which by the end of the year had failed with only small amounts of territory retaken.
Extensive environmental damage caused by the war has been widely described as an ecocide, while war-related disruption to Ukrainian agriculture and shipping contributed to a world food crisis. The Russian attacks on civilians have lead to allegations of genocide.
The invasion was met with widespread international condemnation. The United Nations General Assembly passed a resolution condemning the invasion and demanding a full Russian withdrawal in March 2022. The International Court of Justice ordered Russia to suspend military operations and the Council of Europe expelled Russia. Many countries imposed sanctions on Russia and its ally Belarus, and provided humanitarian and military aid to Ukraine. The Baltic states all declared Russia a terrorist state. Protests occurred around the world, with anti-war protesters in Russia being met by mass arrests and greater media censorship. The International Criminal Court (ICC) opened an investigation into war crimes, crimes against humanity, abduction of Ukrainian children, and genocide against Ukrainians. The ICC issued six arrest warrants: for Putin and Maria Lvova-Belova, and for military officials Sergey Kobylash, Viktor Sokolov, Sergei Shoigu and Valery Gerasimov.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Rais wa Ukraine Zelensky atangaza kikao kingine na Marekani kitakachofanyika nchini Saudi Arabia

    Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ametangaza kuwa mazungumzo kati ya Ukraine na Marekani yatafanyika Saudi Arabia wiki ijayo, akielezea matumaini kuwa mkutano huo utakuwa na maana katika juhudi za kusaka amani ya kudumu. Zelensky hatahudhuria mazungumzo hayo lakini amesisitiza kuwa Kyiv...
  2. uzio usio onekana

    Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

    Rais Donald Trump ameagiza kusitishwa kwa usafirishaji wa msaada wa kijeshi wa Marekani kwa Ukraine baada ya mvutano mkali kati yake na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, wiki iliyopita katika Ikulu ya White House, afisa wa Ikulu ameiambia CNN Jumatatu. Hatua hii, iliyokuja baada ya Trump...
  3. MAKA Jr

    Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika

    Ukraine wana vita/machafuko lakini wana muda wa kupanga, kulima, na kulisha Afrika 😭😭😭 Ukraine iko vita na kwenye machafuko kwa miaka kadhaa sasa lakini wana mipango dhabiti, wana muda wa kulima ndani ya machafuko yao, na wana-manage kusafirisha mazao yao ya kilimo na kuilisha Afrika, na hasa...
  4. M

    Kishindo cha Hypersonic Missile za Urusi: Ndani ya pazia NATO wameiogopa sana Urusi: Matokeo yake ukraine imenywea!

    Ingawa kwa hadharani NATO bado wanajimwambafai lakini kiuhalisia wamenywea sana!! Tangu hypersonic missile ya Urusi isambaratishe kiwanda cha kijeshi cha kutengenezea makombora/missiles, hautaisikia tena Ukraine ikiishambulia Urusi kwa kutumia makombora ya masafa marefu waliyoruhusiwa na...
  5. M

    Baada ya kuona ufanisi wa silaha mpya ya Russia Oreshnik, naomba tujadiliane kuhusu US Military Carriers

    Habari za jioni Great thinkers! Kwanza kabisa napenda kusema kwamba mimi si mtaalamu sana wa maswala ya silaha,sio mwandishi mzuri makala. Baada ya jana au juzi hivi Russia kufanya mashambulizi ya kule Ukraine na kuona jinsi ambavyo silaha mpya ya Russia inavyo hit target kuna mambo mengi...
  6. Narumu kwetu

    Ukraine yarusha makombora ya Uingereza kushambulia ndani ya Urusi kwa mara ya kwanza

    Chanzo cha picha: Getty Images Maelezo ya picha,Kyiv hapo awali iliweza tu kutumia makombora hayo ndani ya mipaka yake. Ukraine imerusha makombora ya Storm Shadow yanayotolewa na Uingereza kulenga shabaha ndani ya Urusi kwa mara ya kwanza, BBC imeelezwa. Nchi hiyo inayokumbwa na vita hapo...
  7. D

    Marekani yafunga Ubalozi wake Ukraine

    Kuna mtu katolewa chambo --- Marekani imetangaza kuwa ubalozi wake katika mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, umefungwa baada ya kupokea taarifa maalum kuhusu uwezekano wa shambulio kubwa la anga. Onyo hilo la shambulio, linakuja baada ya Rais wa Marekani, Joe Biden kuipa Ukraine idhini ya kutumia...
  8. A

    Biden kutuma msaada wa mwisho kwa Ukraine kabla ya kuondoka madarakani

    Raisi wa nchi ya Marekani Joe Biden amepanga kutoa mabilioni ya dollar kwajili ya masuala ya kijeshi huko nchini Ukraine kabla hajaachia ngazi rasmi mwezi January. Hii inakuja huku kukiwa na mkanganyiko kutokana na matamshi ya Donald Trump ambaye mara kadhaa kwenye kampeni zake alikuwa akikosoa...
  9. ward41

    Msidanganyike, Trump hawezi kurusu Ukraine iangukie mkononi mwa Urusi

    Sera ya MAREKANI ni ileile. 1) Ulinzi wa Israel 2) Ulinzi wa western Europe 3) NATO 4) Middle East 5) Far East Kila kiongozi wa MAREKANI anahakikisha anatimiza hizo Sera. Wanatofautiana misimamo tu. Kwa hiyo tusidanganyike eti Trump atamaliza Vita ya Ukraine, hapana. Ni uongo. Ukraine na...
  10. Mkalukungone mwamba

    Ukraine: Wanaume waliokwepa kujiunga na programu ya Jeshi wa anza kukamatwa

    Wanaume waliokwepa kujiunga na programu ya Jeshi na kwenda klabu kula bata huko Ukraine wamekutana nacho baada ya Jeshi la Nchi hiyo kuanzisha msako wa kuwakamata Wanaume wote waliokwepa programu hiyo kwenye kumbi za starehe, matamasha ya Muziki, sehemu za manunuzi, migahawa na maeneo ya Umma...
  11. Webabu

    Putin: Vikosi vya Ukraine vilivyoingia Kursk vimetusaidia kusonga mbele Donbas

    Baada ya shambulio kali la Urusi kuua idadi kubwa ya askari kuruta wa Ukraine kwenye jimbo la Donest,leo raisi Putin wa Urusi ameweka wazi kuwa wamekuwa wakisonga mbele kwa kasi kuelekea kushika miji muhimu ya Donbas kutokana na kutokuwepo kwa upinzani wa askari wa Ukraine. Wiki tatu zilizopita...
  12. green rajab

    Ukraine kapigwa na kitu kizito wapoteza zaidi ya wanajeshi 600

    Zaidi ya Mwanamgambo 600 wa Ukraine waliokua katika shule yaafunzo ya Kijeshi wameuwawa baada ya Shambulio la Iskender toka Russia Kulingana na aliyekuwa mbunge wa Ukraine, Igor Mosiychuk (ambaye anachukuliwa kuwa gaidi na mhalifu na Urusi), jeshi la Ukraine limepoteza zaidi ya wanajeshi 600...
  13. Narumu kwetu

    Ukraine yafanikiwa kutengeneza kombora la masafa marefu, Ukipitia magumu akili inatanuka:

    Ukraine Yasema Imejaribu Kombora Jipya la Ndani Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema kuwa nchi yake imefanikiwa kufanya jaribio la kwanza la kombora jipya lililotengenezwa ndani ya nchi. Ukraine inajulikana kuwa na angalau kombora moja la masafa mafupi, Hrim-2, ambalo lipo katika hatua...
  14. C

    Ukraine ni watu na nusu, nguvu hiyo waitumie kiboresha uchumi wao pia

    Mimi sio muumini wa vita ya uvamizi,lakini nipende kukiri kuwa Syria iliishi kinyonge mno kuliko Ukraine inavyojipambanua katika vita hii kati ya Russia na Ukrain. Kila nikiwa katika kazi zangu za kila siku nikikumbuka vibaka wa kariakoo wanavyochomwa moto wa petroli na kusahau kuwa kumbe...
  15. State Propaganda

    Zelensky kidogo amwage chozi katika interview na BBC

    Raisi wa Ukraine [emoji1255] V. Zelensky katika mahojiano na BBC kuhusu vita baina yake na Russia amejikuta akitaka kutokwa na machozi pale alipobananishwa na mwandishi wa habari baada ya kutakwa kutaja idadi ya wanajeshi wake wanaolamba mchanga kila siku vitani. Majibu ya Zelensky Yalikuw kama...
  16. I

    NATO yaapa kuipa Ukraine uanachama ingawa haijasema ni lini

    Wanachama wa Nato wameahidi kuunga mkono "njia isiyoweza kutenguliwa" kwa uanachama wa siku zijazo wa Ukraine, pamoja na misaada zaidi. Wakati ratiba rasmi ya kujiunga na muungano wa kijeshi haikukubaliwa katika mkutano wa kilele huko Washington DC, wanachama 32 wa muungano huo wa kijeshi...
  17. Sir John Roberts

    NATO itaiponza Ukraine. Leo wametangaza kupeleka ndege vita huko Ukraine

    Hizi nchi za NATO tangu vita imeanza wamekua wakitoa silaha na fedha kwaajili ya Ukraine kupambana na Russia 🇷🇺. Leo wametangaza kupeleka ndege vita za kisasa F 16 lakini tuelewe kuwa Ukraine anazo mig ambazo ni Su version ya mrusi na Russia amekua akizilipua na kupiga miundo mbinu ya Ukraine...
Back
Top Bottom