ukuaji wa teknolojia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Rais Samia atishwa na kasi ya ongezeko la Idadi ya Watu, lisilioendana na kasi ya ukuaji wa Uchumi wetu

    Rais Samia, ameonya juu ya ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi. Akizungumza leo, Februari 1, 2025, katika uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014, toleo la 2023, uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Mrisho Kikwete, jijini Dodoma, Rais...
  2. FRANCIS DA DON

    Napendekeza kuundwa kwa taskforce ya kuleta pamoja wahindi wa daraja la chini wenye ujuzi rahisi toka India na kuwafungia kwenye karakana hapa nchini

    Kuhusu maendeleo ya kiteknolojia, Africa hatujalogwa na wala hatuna udhaifu wowote ule wa kimwili au kiakili unaotufanya tuwe nyuma kiasi hiki, bali ni mazingira ya makusudi tuliyowekewa na waliotutangulia kuhakikisha tunabaki nyuma zaidi ili tusipate uwezo wa kuzitumia rasilimali zetu na hivyo...
  3. realMamy

    Ukuaji wa Teknolojia husababisha Upweke kwa watoto wadogo

    Ukuaji wa Teknolojia ni Mzuri kama ukitumika vizuri. Kwa nini nimeleta hoja hii kwenu? Unakuta wazazi wote wanachart karibu siku nzima watoto wanaolelewa humo ndani wanabaki kuzunguka zunguka tu. Mama hajali kuhusu watoto wala Baba labda akilia kidogo ndio washtuke kuangalia nini kimetokea...
Back
Top Bottom