ukungu

Kwa Ukungu is a settlement in Kenya's Eastern Province.

View More On Wikipedia.org
  1. The Watchman

    KWELI Ukungu unaweza kusababisha magonjwa kwa mazao au mimea na kudhoofisha mazao shambani

    Wakuu wa JamiiCheck naomba kufahamu uhalisia wa hili kwamba ukungu unaweza kuathiri mazao na kupunguza kiwango cha uzalishaji. Huwa naona shambani majani ya mimea inaungua nikuliza wenzangu wananiambia ni ukungu je, ni kweli?
  2. P

    Suluhisho la ukungu kwenye taa za gari lako

    Wale msiojua mnaoingia asala Kila wakati kununua taa za gari ako, mkombozi amepatikana , Okoa ghalama za kununua headlight hadi lakin tatu nakuendekea Kwa sh elf 30 tuh! Hii huduma yakuondoa ukungu kwenye gari ako utafanyiwa popote ulipo ndani ya dar tucheki WhatsApp 0767603688 Na ukiitaji...
  3. ndege JOHN

    Ukungu baharini

    Ukungu unaotokea juu ya maji kwa kawaida hujulikana kama ukungu wa baharini au ukungu wa ziwa. Inatokea wakati hewa ya joto na unyevu inapita juu ya maji baridi zaidi. Ukungu wa bahari au ziwa unaweza kutokea juu ya Bahari ya Atlantiki na Pasifiki, Ghuba ya Mexico, Maziwa Makuu na miili mingine...
  4. Lexus SUV

    "kutoka kwa ukungu hadi kutakata , namshukuru mungu kwa kila baraka"

    bonge moja la song kutoka kwa mkali wa rnb ben pol ft darassa cmg mwanamziki asiechuja kila ngoma ni hit song tuuuuuu
  5. Analogia Malenga

    Kwa mara ya kwanza Dar, nashuhudia ukungu

    Aisee nimekumbuka nyumbani kwetu, hali ya ukungu ni kawaida. Leo ni mara yangu ya kwanza kushuhudia ukungu Dar yenu
  6. sky soldier

    Tatizo la kuwa na ukungu katika kutunza kumbukumbu limenianza taratibu, nifanye mambo yapi ili kulitatua ama kulipunguza?

    Nimekuwa na tatizo la kusahau sahau yani kitu kidogo tu kukitunza akilini nikifanye baada ya mda flani ama nikifatilie imekuwa ni ishu, Bado mimi ni kijana nina miaka 32 kwakweli naanza kuogopa hali itakuwaje nikifikia huko 50 - 60+ Kwa sasa situmii kilevi ila hapo nyuma tangu 2013 hadi 2022...
  7. L

    Kama ni mkazi wa Arusha na taa za gari yako zina ukungu au zimefubaa karibu tukung'arishie kwa bei nafuu

    Hii ni kwa wale walioko Arusha Mjini, na taa za magari yao zina ukungu au zimepauka. Tunang'arisha taa hizo kwa kutumia kifaa maalum na kuzirudishia mng'ao wake kwa gharama nafuu kabisa. Tupigie kwa simu namba 0621 846107 (call/WhatsApp). Huna haja ya kutembelea taa isiyomulika vizuri kwa...
  8. B

    Tatizo la ukungu kwenye jicho la kuku, tiba yake ni ipi?

    Ndugu zangu, Kuku wangu wamekumbwa na tatizo la ukungu kwenye macho yao. Jicho alivimbi ,muda mwingi analifumba. Rangi ya kile kiini cheusi cha jicho kinakuwa kama kina ukungu. Je, nitumie dawa gani?
  9. K

    Dawa ya kupambana na ukungu na chumvi kwenye ukuta inaitwaje?

    Wadau, Nyumba nyingi zinathriwa na kuta kubanduka sbb ya chumvi na fungus. Nasigia kunadawa ya kupaka kabla ya kupiga rangi. Je, ni dawa ipi hiyo? Je, mikoani kama inapatikana? Tupeane ushauri.
  10. Nyendo

    Ndoo yako ya kuogea unaisafisha mara ngapi?

    Jamani kuna watu wanajisahau sana mtu unakuta ndoo ya kiogea mpaka imekua na rangi isiyoeleweka. Unakuta mwingine ndio anadekia hiyo hiyo na haioshi mpaka inaweka ukungu, anaoga tu haoshi wala nini. Tukumhuke usafi wa ndoo za kuogea jamani.
  11. Nukta5

    Msaada: Unaondoaje Ukungu wa nje kwenye kioo cha mbele?

    Juz nilienda marangu na gari sasa usiku wakat narudi kulikuwa na baridi gari ikawa inaweka ukungu kwa nje nimejaribu kuwasha heater ta kioo haikubali ilichosaidia ni wiper inafuta kidogo but inarudi palepale, ukikutana na gari inayokuja imewasha taa huoni vizuri kabisa nimeenda nayo hadi sehem...
Back
Top Bottom