Hawa mawakala wanaoingia mkataba na Halmashauri za Wilaya kukusanya mapato wanawapunja sana hizi Halmashauri na Halmashauri zinatakiwa zijitathmini sana.
Nitoe mfano ulio hai hapa Mwanza. kuhusu ushuru wa madini.
(1) Kwa wastani kwa siku kuna malori 50 yanayosomba mchanga.
(2) Kila lori...