ukutani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ubunifu saa za ukutani za mbao na miti

  2. F

    picha nzuri za ukutani

    Napenda sana kupamba kuta na picha za ukutani,kwa upande wa dar,maduka yanayouza picha hizo yapo mitaa ipi?Naomba msaada wenu
  3. Maandishi ukutani

    Maandishi Ukutani 1 Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na akanywa mvinyo pamoja nao. 2 Wakati Belshaza alipokuwa akinywa mvinyo wake, aliamuru viletwe vile vikombe vya dhahabu na fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekaluni huko...
  4. W

    Kuweka kitanda katikati ya chumba au ukutani ni kipi bora?

    Habari za leo naomba ushauri kuweka kitanda katikati ya chumba au ukutani ni kipi bora
  5. Ndugu zangu ninaombeni zabuni ya sanaa ya uchoraji picha za ukutani kwa majengo ya kisasa

    Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye kipaji cha uchoraji picha halisi ya kitu au mtu yeyote aina ya MONOKROMU ukubwa kuanzia A0,A1,A2,A3,A4 na A5. Ni ombi langu kupokea kazi kubwa na ndogo za uchoraji kwani ninafanya kazi kwa bei nafuu kwa kumjali mteja. Nikiwa kama kijana ambaye sina ajira...
  6. W

    Naomba kujua square meter ajili ya tiles za ukutani

  7. Ushauri kuhusu mbao nzuri za kujengea makabati ya jikoni ukutani

    Habari za humu? Nilikuwa naomba kujuzwa mbao gani ni nzuri kwa kujengea makabati ya ukitani na pia Jikoni. Natanguliza Shukurani
  8. M

    Msaada jinsi ya kufunga Flat TV ukutani

    Wakuu kwema nyote, naomba nianze tatizo hili kuna jamaa kanunua flat screen na vile vichuma wakampa vya kuvungia ukutani, maana akisema aweke ikae kwenye meza anahofia watoto watasukuma. Sasa anatafuta fundi au jinsi ya kuifunga ukutani afanyeje? Natanguliza shukrani 🙏.
  9. INAUZWA Feni ya ukutani inauzwa

    FENI YA UKUTANI INAUZWA MPYA💥 Brand : Tronic Bei : 80,000 Mahali : Dodoma ☎️ : 0654 486 097
  10. Watu gani watatu mashuhuri unaweza ukatundika picha zao ukutani kwako?

    Kutokana na nafasi zao na michango yao katika jamii, mimi bila kupoteza muda picha za Bob Marley, Patrice Lumumba na Nelson Mandela zipo ukutani nyumbani kwangu. Hao watu ni vielelezo vya wanaharakati waliojitoa kwa ajili ya kupambania haki za wengine hasa mtu mweusi. Je, kwa upande wako ni...
  11. Sonso ameacha maandishi ukutani, tujitafakari

    IJUMAA iliyopita amefariki dunia beki wa Ruvu Shooting, Ally Mtoni ‘Sonso’ na alizikwa Jumamosi. Sonso enzi za uhai wake aliwahi pia kuzicheza Lipuli, Yanga na Kagera Sugar. Zaidi ya hapo amewahi kuipigania jezi ya timu ya taifa. Ni mara chache kwa taifa letu kutokea kifo cha mchezaji wa Ligi...
  12. Jinsi ya kuficha TV cables ukutani

    Kuweka TV ukutani inapendeza sana. Lakini hamna kitu kinakera kama kuona mawaya yananing'inia kutoka chini kwenda juu kwenye TV. Haipendezi kabisa na inaondoa uzuri wote wa eneo hilo. Jinsi ya kuficha hizo cable ni rahisi sana. Wakati wa ujenzi unachimbia bomba ya kama 2 inches hivi ukutani...
  13. Msaada: Wapi wanauza misalaba ya ukutani?

    Nahitaji kimsalaba cha chuma kama hiko katikati hapo kwenye picha. Kwa hapa Dar, duka linalouza vifaa vya aina hii linapatikana wapi? Msaada please
  14. Mwenye uelewa na hivi vitofali vya kuchoma vya kubandika ukutani

    Mwenye uelewa na hivi vitofali vyekundu vya kubandika ukutani, vinabandikwa kwa bei gani kwa kila mita za mraba?
  15. INAUZWA Tunauzwa vitu mbalimbali (Pazia, Chuma za Pazia, Net, Kava za Makochi, Mashuka nk)

    Je Umechoka muonekano wa sofa zako na ungependa kuzipa muonekano wa tofauti na wakisasa zaidi? SALE SALE SALE Sofa la mmoja ni 30000 Sofa la wawili ni 44,000 Sofa la watatu ni 54,000 ●Tuma kochi zako WhatsApp 0713691101 upate ushauri na sample za cover zilizopo 1: Hazipauki wala kuchuja...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…