Mtoto mwenye umri wa miezi 9 amelawitiwa na baba yake mzazi hadi kufariki dunia.
Tukio hilo limetokea katika kata ya Olasiti mtaa wa Olasiti kati wilaya ya Arusha mjini.
Mwenyekiti wa mtaa wa Olasiti kati Bwana Bruno amethibisha kutokea kwa tukio hilo mtaani kwake na kusema kuwa marehemu ni...
Mzee mwenye umri wa miaka 50 Mkazi wa Olgolai Kata ya Kiutu Arumeru Mzee Peniel maarufu kama (mzee my friend) anatuhumiwa kulawiti watoto 6 na wengine aliokua akiwachezea sehem zao za siri ambapo siku kadhaa zilizopita alitiwa mbaroni na polisi baada ya kukamatwa kwa kosa la kumlawiti mtoto wa...
Sakata la mtoto wa kiume (3) kudaiwa amelawitiwa na watoto wenzie Jijini Arusha, limekuwa na sura mpya baada ya kesi kushindwa kufikishwa Mahakamani kwa madai kuwa waliotenda tukio hilo hawawezi kukabiliwa na kesi ya jinai kutokana na miaka yao kuwa chini ya umri wa kushtakiwa kwa kosa hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.