Kumekuwa na ongezeko la vitendo vya uvunjifu wa Haki za Binadamu ikiwemo matukio ya Watu kukamatwa, kushikiliwa bila taarifa, kupotea, kutekwa na kujeruhiwa na wengine kutojulikana kabisa walipo hadi sasa. Pia kumekuwa na ongezeko la matukio ya Ukatili wa Kijinsia na watoto ambapo siku za hivi...
Ni sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Damas Stephen.
---
Damas Stephen anadaiwa kumlawiti mwanaye Dominica Damas wa miezi na...
Natumaini wote tuko poa.
Wajuzi wa sheria msaada, nina jamaa yangu mwanae kakutwa na kesi ya kulawiti watoto wenzake, kwa wajuzi wa sheria hukumu ikoje maana huyo mtoto yupo darasa la 4!
Pia soma: Kesi za ulawiti hasa kwa watoto wadogo zimekithiri sana. Hatua gani kali zifanyike? Kwanini...
Habari wadau.
Hivi sasa ni saa 01:40 usiku wa manane sijalala naumia na kuumiza kichwa hivi hizi kesi za kulawiti kwanini zimekithiri?
Wanaume wamefikia hatua wanalawiti watoto wa miaka mitatu, wazee wasiojiweza na hata wagonjwa walio pooza. Wanalawiti wanawake kwa wanaume bila huruma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.