Haikubaliki na wala hatuwezi kukaa kimya mpaka leo bila Polisi kuueleza umma hao vijana wavuta bangi wameshakamatwa au bado?
Ushahidi upo wazi na sura zao zinaonekana, maana yake wote wanajurikana, mfumo wa dola Tanzania unaanzia kwa wajumbe wa nyumba 10 wanawatambuwa watu wao.
Kuchakata...