ulemavu wa ngozi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Johny Mkalawa

    SoC04 Turudishe tabasamu kwa watu wenye ulemavu wa ngozi

    TURUDISHE TABASAMU KWA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI. Picha na: www.shutterstock.com Kuelekea Tanzania tuitakayo ni muhimu kuandaa Sera, Sheria na Mipango ambayo itawalinda na kuwarudishia Tabasamu watu wenye ulemavu wa ngozi (Albinism). Hakika ni Aibu kubwa kwa Taifa ambalo lina Miaka zaidi...
  2. Accumen Mo

    Watanzania tupunguze ushabiki na uzandiki kwa mfano ni kifo cha mtoto mwenye ualbino (Asimwe Novart) kilichotokea huko Kagera

    Habari ndugu zangu watanzania, Kwanza poleni na msiba huu tena unaleta aibu katika jamii ya kitanzania, pia napenda kupongeza hatua mbalimbali zilizoendelea kuchukuliwa ni pamoja na wananchi kuandamana huko kagera , polisi nao kuwashikilia watuhumuwa wawili mpaka sasa kutokana na uchunguzi wa...
  3. Robot la Matope

    KWELI Fr. Elipidius Rwegoshora, ambaye ni Mtuhumiwa wa mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Asimwe Novath, ni Padri katika Jimbo la Bukoba

    Msemaji wa jeshi la polisi kasema ni padri, watu wanatwambia ni mlevi mmoja hivi. Which is which??
  4. L

    Damu ya huyu Mtoto Itazungumza mpaka wahusika wote na mtandao wao wapatikane popote walipo hapa duniani

    Ndugu zangu Watanzania, Inaumiza sana, inasikitisha, inahuzunisha, inatia hasira, inaleta simanzi, inasononesha na kuleta uchungu mkubwa sana ndani ya Moyo kuona, kusikia, kutizama, kushuhudia na kupata habari kuwa kuna watu, watanzania wenzetu,wenye mioyo ya nyama na Damu. Wanaweza kufanya...
Back
Top Bottom