Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni wa taaluma) waliyo nayo hao wanaojiita hivyo, au wanaokubali kuitwa.
Maana ndani ya nyoyo zao...