ZIFUATAZO NI BAADHI YA DALILI NANE MUHIMU ZINAZOONYESHA KUWA MALANGO YAKO YAMEFUNGWA NA ADUI🦸🦸🦸
1. UNAPOTEZA KIBALI NA BADALA YAKE UNATAWALIWA NA ROHO YA KUKATALIWA(SPIRIT OF REJECTION).
Inawezekana ikawa kwenye ndoa,uchumi, biashara,uzao,afya,familia,uchumba,kazi,siasa,uongozi(utawala).
Ukiona...
Mwaka ambao haugawanyiki Kwa mbili mfano 2025/2023/2021 /2019
Kupitia hii miaka unaweza kufanikisha mambo yako kupitia haya mambo
Visualization
Mediation
Examination
Gratitude
Frequency and attention zikiwa juu kuhusu jambo Fulani utapata hilo jambo kirahisi.
Hivyo zingatia haya mambo ili...
Mechi ya tarehe 19
Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76. Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma
Tumepambana kwenye ulimwengu wa...
Great thinkers Habari zenu.
Ulimwengu wa roho ni nini kwa kiswahili cha kawaida kabisa, Maswali yangu matatu tu ikiwapendeza naomba mnijibu ?
NB; Rejea za vitabu vya dini zitumike panapo stahili, Ila akili yako huru ndio itatukomboa wengi tunaotaka kujifunza juu ya haya maswali.
1...
KARMA - kuhusu karma hiii inafanya kazi kwa 100% jinsi unavyowaombea WATU mema hayo mema na wewe lazima uyapate
Unaposaidia watu in positive way lazima na wewe uneemeke ikiwa sio wewe watoto wako.
Kusaidia ni njia namba moja inayoleta MAFANIKIO kuna watu huwa hawaishiwi wala familia zao...
SALAM ZA KUSHIKANA MIKONO.
Usipende Sana kusalimiana kwa kushikana mikono kwa sababu kupitia kushikana mikono huko utaibiwa nyota Yako watu wanauchawi huo ikitokea tu umeshikana mikono na mtu mwenye huo uchawi basi nyota Yako atakuwa ameibeba mtu huyo.
Kuanzia hapo mambo Yako utayaona yameanza...
Maisha tunayoishi ni mfano wa operating system nikimaaninisha ukija afrika na kutoa south afrika na nchi za kiarabu kuanzia dakar uje abidjan, accra, lagos, kinshasha, nairobi, dar es salaam, kampala, lusaka n.k utagundua hii miji na mingine sijaitaja inakitu kinachofanana iko dis-organize...
Salaam, Shalom!!
INTRODUCTION
(Matendo 2:17-18) na (Waefeso 1:3)
MTU ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI. Roho inapoungana na mwili, kinaumbika kitu kinachoitwa NAFSI.
Mwili una vitu vinavyoshikika na kuonekana kama Ubongo ,misuli nk nk
NAFSI ni kiunganishi kati ya Roho na mwili...
Salaam / Shalom!!
INTRODUCTON.
(Mwanzo 2:18,21-24) na (Mathayo 19:3-9).
NDOA ni muunganiko wa KIMWILI kati ya mume mmoja na mke mmoja KIMWILI na kiroho.
Asili ya NDOA ni Mbinguni, NDOA ni usafi, NDOA ni utakatifu.
Kila mtu aliyezaliwa Huwa anae mtu mmoja ambaye Huwa ndiye ubavu wake. Na hao...
Kila mtu anapo lala usingizi kuna kitu hutokea kinaitwa rapid eye movement (REM) macho kuzunguka kwa haraka.
Hutokea baada ya saa 1 hadi masaa 2 katika usingizi.
Ndipo utaanza kupata ndoto au maono ambayo ni kama jambo halisi nala kawaida.
Wengi wenu manapokua kwenye ndoto, ndoto hizo huja na...
Hi,
Karibu uchukue nondo.
Usitamke jambo kumwambia mtu yoyote kama huna uhakika limekamilika. Mtu umevalishwa pete ya uchumba, unatangaza kila kona, mtu unataka ununue gari unamtangazia kila mtu.
Unajuaje wote ni watu wazuri?
Kama una jambo la kheri unataka ufanye, chunga sana mdomo wako...
Nawasalimu wote.
Mwenye ufahamu afahamu, na afunguliwe kuzijua siri za ufalme wa roho.
Leo nitaongelea njia moja wapo ya kuweza kufungua mlango na kuingia katika ulimwengu wa roho. Njia hiyo ni chanting.
UTANGULIZI
Kwanza kabisa chanting ni nini!? Nikutamka au kuimba maneno kwa kurudia...
Amani kwenu wakuu. Leo tutaongelea hatari inayomkabili mpiga punyeto kiroho. Ni ukweli usiopingika kwamba asilimia kubwa ya vijana na wazazi wa kileo wamejiingiza kwa nguvu kwenye utamaduni huu mchafu na hatari. Kwa nini nasema ni hatari?
Punyeto na kujichua ni tendo la kiroho
Wengi hutazama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.