ulinzi wa rais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. britanicca

    Ulinzi wa Rais uimarishwe kuna uzembe unafanyika maeneo muhimu

    Kuna uzembe mkubwa sana katika ulinzi wa Rais, Watu wanadhani kuwa na bodyguard wengi au magari mengi ndiyo ulinzi husika Nimenusa jambo kwenye maeneo haya matatu Kuna uzembe sana kwa Mawakala Maofisa wa ulinzi wa karibu (CPOs): Mawakala waliofunzwa sana wanaomlinda rais saa nzima Maafisa wa...
  2. Christopher Wallace

    Walinzi wa Rais Mwinyi wamenikumbusha enzi ya awamu ya tano huku bara

    Rais Mwinyi wa Zanzibar ana ulinzi wenye madoido na wa aina yake. Amenikumbusha enzi ya awamu ya tano chini ya hayati John Pombe Magufuli. Hongera sana Rais Mwinyi!
  3. britanicca

    Baada ya kudokeza ulinzi wa Rais uimarishwe naona mtu kabadilishiwa majukumu, ni mkuu wa Misafara ya Rais

    Kuna jambo moja Hatari lilikuwa limepangwa dhid ya Rais Samia nikatoa angalizo, Ila baadae mliona ana msafara wa magari 120 na ulinzi mkali; ni pale ambapo walipanga kumfanyia mafia Naona ameamua amtoe muhusika wa ulinzi hadi kuwa RAS Kilimanjaro kutoka kuwa mkuu wa kikosi cha ulinzi wa Rais...
  4. Sir John Roberts

    Hoja Chokonozi: Hivi Rais anapowapita wananchi barabarani na Ulinzi mkali anaogopa kuwasalimia?

    Kwanza niseme nakubali kabisa Rais anafanya kazi kwa ratiba alizopangiwa na wasaidizi wake. Siku 4 zilizopita Mh. Samia Suluhu Hassan katika ziara yake mkoani Katavi ameonekana katika msafara wake wa magari zaidi ya 100 akipita kwa kasi sana huku wananchi wakiwa wamejipanga barabarani kushangaa...
  5. M

    Bakwata itatoa tamko walinzi wa kiume kuingia na kuchanganyika na wanawake ni ruksa

    Moyo wangu unajisukuma kuandika haya, kwa kuwa naona kesho. Ndani ya muda mchache kuanzia sasa Baraza kuu la waislam wa BAKWATA litatoa tamko kuwa ni sahihi kwa walinzi wa Rais kuingia na kuchanganyika na wanawake. Sababu kuu ikiwa ni Quran haijakataza kuchanganyika sawa na tofauti za...
  6. Victoire

    Gabon: Jeshi lamtangaza Jen. Nguema kuwa Rais wa Mpito, alikuwa Kiongozi wa Kikosi cha Ulinzi wa Rais

    Haya kumekucha Gabon, Brice ambae ndo alikuwa mkuu wa ulinzi wa Rais ndo kawa Rais. Kwa uchunguzi wangu ,huyu Nguema ni binamu wa Ali Bongo. Na Ali Bongo alimpa kazi maalum ya kumuandaa mtoto wa kwanza wa Ali Bongo anaeitwa Valentin ili aje kuwa Rais. Naona Brice kaamua, no way kwanini aandae...
  7. Teko Modise

    Ulinzi wa Rais Samia umebadilishwa?

    Tangu akiwa ziara ya Arusha alipokutana na wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa yupo mkoani Mbeya, nimegundua kama ulinzi umebadilika kiaina. Zamani tulizoea kuona jammer car katika msafara wa Rais lakini kwasasa gari lile halionekani kabisa. Pia wale jamaa zetu wenye silaha...
  8. Nyani Ngabu

    Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

    Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa. ‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi. Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona. Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa...
  9. muafi

    Vijana wa CHADEMA kujadili ulinzi wa Rais ni upuuzi na kukosa kazi za kufanya

    Vijana wa CDNM huko twitani wamerukwa na wazimu, mmekosa ajenda mnaanza kujadili kuhusu ulinzi wa Rais, mlitaka Rais alindwe na nani tutaacha lini ujinga wa kupinga kila kitu, wapumbavu wameanza kutaka Mama samia afanye kila anachofanya Rais wa zambia Chilema, yani Chilema msafara wake...
  10. M

    Ulinzi wa Rais Samia Marekani upoje?

    Nawasalimu katika jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Wapendwa tumekua tukiona kwa macho yetu, kwamba Mh Rais Samia ana walinzi wenye mabunduki mazito mazito pindi anapokua kwenye tukio au sehemu yoyote hapa Nyumbani Tanzania! Wale wana usalama ni wenye miili mikubwa,warefu na wamekula...
Back
Top Bottom