Jana katika ufunguzi wa RNC convention, Donald J. Trump aliingia ukumbini kuwasalimia wanachama wa chama chake.
Ndani ya ukumbi walikuwemo wanafamilia wa Trump pamoja na mteule wake wa makamu Rais.
Nilichokiona ambacho kilikuwa tofauti ni wakati Trump anaingia ukumbini.
Security detail ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.