Wasaalam,
Tafadhali ikikupendeza soma maelekezo ya kiambatisho hapa chini SEHEMU YA PILI (b).
Kisha tafadhali tenga muda wako usome utoe maoni yako kama ilivyoelekezwa kwenye tangazo lililoambatishwa.
Natanguliza shukrani.
Source insta @bunge.tanzania