TUME YA MABORESHO YA KODI, KUNI YA ONGEZEKO LA ULIPAJI KODI WA HIARI
Na Mwandishi, Umoja wa Vijana CCM
Rais Samia Tarehe 04/10/2024 amezindua Tume ya Rais ya Maboresho ya kodi
Kodi ni -mchango wa lazima kwa mapato ya serikali, unaotozwa na serikali kwa mapato ya wafanyakazi ,faida ya...
Naomba kuelekezwa kama Kuna namna Mimi sielewi.
Ni mara nyingi sana nikikata tiketi ya basi, unakuta kiwango kilichoandikwa pale ni tofauti na kile ulicholipa.
Mfano, nilipanda basi kutoka Mpanda kwenda Dar, nauli ilikua 79,000 kwenye EFD receipt, lakini Mimi nililipa 75,000/=
Kwa uelewa...
Wachina wanaofanyakazi, wanakusanya Kodi na kulinda Kodi kwa nguvu zao zote. Mhujumu ananyongwa. Je, Africa watu wao wanafanyakazi, kukusanya kodi na kulinda Kodi ya wananchi wao?
VAT ni kifupi cha Value Added Tax. Ni kodi inayotozwa kwenye bidhaa, huduma, na mali isiyohamishika ya shughuli yoyote ya kiuchumi wakati thamani inapoongezwa katika kila hatua ya uzalishaji na hatua ya mwisho ya mauzo. Viwango ni 18% kwa usambazaji wa kiwango cha kawaida, na 0% kwa mauzo ya...
Hakuna mfanyabiashara yeyote Duniani na haswa kwa Nchi za Afrika anayependa kulipa Kodi, wengi wao huwa wanatafuta mianya ya kukwepa kulipa Kodi.
Wafanyabiashara wengi wanatafuta faida zaidi kwa njia yoyote ile.
Hivyo kujadiliana kuwa Kodi hii ilipwe ama isilipwe ni sawa na nyani kulinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.