ulipaji wa fidia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Wananchi Wanadai Serikali ya Mtaa inahujumu ulipaji wa Fidia kupisha Bandari Kavu, Tunduma Mkoani Songwe

    Baadhi ya wananchi Wanaotakiwa kupisha Ujenzi wa Bandarikavu katika eneo la Nandanga, Kata ya Mpemba, Halmashauri ya Mji wa Tunduma, Mkoani Songwe wameilalamikia Ofisi ya Serikali ya Mtaa kushindwa kuwashirikisha katika hatua za Mchakato wa kulipa fidia na kuandikisha watu wasiohusika kwa lengo...
  2. Roving Journalist

    Waziri wa Madini: Serikali itachukua hatua kuhakikisha Kampuni zinakamilisha ulipaji wa fidia kwa Wananchi

    Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Kampuni mbalimbali za uchimbaji na uchakataji madini inatarajia kuanzisha miradi mikubwa ya kimkakati itakayohusisha mnyororo mzima katika Sekta ya Madini. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema kuwa Wizara ya Madini inaahidi kuchukua hatua mbalimbali ili...
  3. N

    Kuna Mazingira ya upigaji na matumizi ya nguvu katika mchakato wa uchukuaji wa aridhi na ulipaji wa fidia Chongoleani Tanga

    Kuna maeneo mengi Serikali imekuwa ikitekeleza miradi lakini uenda sio jambo la kushangaza kuwakuta wananchi wengi wanaozunguka maeneo ya miradi husika wananungunika au wanashindwa kuithamini wazi wazi na kuwa waangalizi au mabalozi wa miradi hiyo haswa kutokana na maslahi yao kutozingatiwa...
Back
Top Bottom