Unageuka kichaa ama chizi anayejua anavaa nguo nzuri
Na kwenda kwenye jengo fulani kukutana na wenzake.
YAANI paka anaweza pita nyumbani kwako,kisha akakutizama wewe
Kwa kukukodolea macho tu,
Nawewe kwa upumbavu wako unatangaza mfungo hapo nyumbani siku 7,
Yaani unasumbua watoto kwenye lishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.