umasikini na fedheha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Ni fedheha gani ulipitia kisa umasikini?

    Mimi kuna siku mgeni kaja kunitembelea, sina hata mia mbovu, ndani nina mchele na nje kuna matembele, nikaandaa mboga kwa ajili ya kupika na kubandika wali, basi bwana mgeni amefika tunasubiri msosi uive mara gesi ikaisha ndio kwanza maji yanaanza kukaukia , matembele yako kwenye maji, mgeni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…