Huwa nakaa najiuliza hivi unapataje muda wa kushabikia mpira halafu unakua lofa na masikini, aisee nyie mashabiki wa mpira Tanzania tafuteni hela mnanuka njaa sana na mnaleta usumbufu kwa matajiri kama sisi barabarani mkipita na vi Costa vyenu na hivyo vivuvuzela.
Yaani mnaonesha kabisa njaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.