umbea vibarazani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wanawake mnaoshinda vibarazani kuwasema wapitanjia muache hiyo tabia, mnakera

    Wakuu, Kuna wadada na wamama huku mitaani tunapoishi wana tabia ya kukaa vibarazani nje iwe mchana iwe usiku wanakaa hapo sehemu ya njia watu kupita kuna hizi barabara za mitaa sasa nyumba zimepangana pembeni barabara inapita katikati wamekaa vibarazani kuwachora wanaopita njia yaan wanatega...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…