Hapa ieleweke si Ile hali ya kuvamiwa, ni umekaa amepora amesepa, na akikulia timing anakuumiza.
Si ishu tu ya uhitaji wa sungusungu akili zichanganywe katika level ya kufikir nje ya box.
Wengi hawajui level of crimes, baadhi ya nchi ulimwenguni hakukaliki kutokana kiwango kilichopitiliza...