Ndugu Wana jamvi naomba munisaidie, hivi iliuunganishiwe umeme na Tenesco unatakiwa kufanya nini?
Mimi ni mwenyeji Wa Mwanza, nimefanya jitihada zote ili niunganishiwe umeme imeshindikana. Ndio maana nauliza wanaounganishiwa umeme wanatumia njia gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.