umeme simiyu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Kata ya Muamatondo wilaya ya Bariadi suala la umeme kukatika limekuwa kero sana

    Huku Bariadi kata ya Muamatondo hasa kijiji cha Mwasinasi umeme umekuwa kero toka wakati wa mgao hadi kuwashwa kwa mitambo ya Bwawa la mwl Nyerere. Yaani kwa siku wanakata hata zaidi ya mara saba, kibaya zaidi hatuambiwi shida nini. Toka jana Jumamosi asubuhi mpaka leo saa tisa na robo Jumapili...
Back
Top Bottom