Taifa Sasa lipo katika mjadala wa umeme wa hydroelectric power ambao n mradi ulioachwa na aliekuwa Raisi wa JMT.
Lakin kabla ya huu mradi, kulikua na project ya umeme wa gesi ambao ulikua katika utekelezwaji na uligharimu taifa kwa habar ya fedha, watu kuvunjiwa nyumba zao nk.
Baada tu ya...