Habarini?
Nimekaa nikatafakari nikaona nivyema niende kusomea ufundi katika vyuo vya tena na kozi nayoipenda kwenda kusomea ni kozi ya umeme lakini nimekua na swali nijiulizalo pasipo kupata majibu kwamba kati ya umeme wa magari na umeme wa majumbani ni kozi gani nikisomea kozi ndefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.