umeme wa tanesco

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Elon Musk aachia project mpya iitwayo Tesla Solar Roofs

    Elon Musk ameachia Moja kati ya Project yake mpya inaitwa Tesla solar roofs. Ni aina ya MABATI ambayo yametengenezwa Kwa Solar, badala ya kuhangaika na Umeme wa Solar, unanunua tu MABATI haya Maalumu, utaezeka Nyumba Yako, na yatakupatia Umeme wa kuweza ku run hata Kiwanda kidogo. The game...
  2. K

    Mgodi wa GGML waaanza kutumia umeme wa gridi ya Taifa. Sasa watatumia Umeme wa TANESCO badala ya Mafuta

    MGODI WA GGM WAANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI BADALA YA MAFUTA πŸ“Œ Dkt.Biteko azindua kituo cha kupoza umeme cha GGM (MW 34) πŸ“Œ Asema kitaongeza mapato ya mgodi kwa Serikali πŸ“Œ Aipongeza GGM kuzipa kipaumbele kampuni za kizawa πŸ“Œ TANESCO kuingiza mapato ya sh.Bilioni 2 hadi 3 kwa mwezi Naibu Waziri...
  3. Msaada: Umeme unatumika sana wakati nina matumizi ya kawaida, tatizo itakuwa nini?

    Habari ndugu wana jamii forums, naombeni ushauri kwa wataalam wa mambo ya umeme. Nyumba yangu ni ya vyumba vitatu, natumia umeme kwenye taa, feni, tv, fridge na heater mara moja moja. Umeme naweka wa elfu 50000 ila haumalizi mwezi! Pia soma: Vitu vyangu vya umeme vimeungua na umeme wa TANESCO...
  4. Vitu vyangu vya umeme vimeungua na umeme wa TANESCO

    Hivi karibuni Dar Es Salaam umeme umekua hauko stable kabisa unajiongeza na kupungua wenyewe. Sasa leo asubuhi mapema najiandaa niende kwenye shuhuli zangu umeme ukaongezeka, gafla nikaskia vitu vina burst sehemu tofauti tofauti ndani kwangu hadi circuit breaker ikajizima. Nika switch off switch...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…