Kama umeona mwenye hulka/tabia mojawapo kati ya hizi, basi mkeo ni kahaba, na anayafanya haya kuvutia wanaume wengine. Fukuza kabla mambo hayajakuharibikia:-
1. Anabandika kope, nyusi, kucha na kuvaa mawigi. Unadhani anambandikia nani?
2. Anavaa nguo za kubana ama zinazoonesha maungo ama nguo...
Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze.
Kusimama kama mwanaume ni kazi hatakama anakuonyesha heshima kiasi gani.
Jambo kubwa unalofaa kufanya ni kutoweka budget ya kipato chake kwenye kuendesha familia yenu.
Stand as a man...
Kuna vijana mimi nawaona wa hovyo sana,utakuta kaoa mke ana Taaluma yake ,yeye maisha yake ni yakubangaiza mwenzangu na mimi kama sio zaidi ya mimi lakini anamzuia mke wake asifanye kazi kwa kuajiriwa na anakuwa mbogo,ukimuangalia mwanamke kachokaaa na Ana taaluma yake Angeweza kupambana...
Ndugu ukiwa na mke hata akionyesha ni mwaminifu kiasi gani tafuta mchepuko.Mchepuko unafaida zifuatazo,unaact kama buffer na kimsingi unasaidia kujifanya ndoa yako iwe stable zaidi. Mfano badala ya kukaa home unagombana na mke wako aliyenuna unachomoka unaenda Kwa mchepuko anakupeti peti...
Haya mambo hayana formula lakini odd kubwa za kuchapiwa zimelala kwa watu waliiooa watumishi, yaani 60% Huwa ni dhaifu saana so kupigiwa ni kugusa tu.
Imani yangu inaniambia kwamba Mwanamke hawezi kucheat kwa bahati mbaya yaani lazima kuwepo na sababu ya yeye kucheat, lazima atengenezewe...
Naswali la heshima why mnacheat.
Na mna mke mwema, mke anakupenda na kukusaidia, nakukujali anakuzalia anafanya uitwe baba fulani.
Ila nyie kazi kuwa malaya tu ndio kazi yenu, sijui kwanini mnaoa yanini kama hamjui shida zake.
Mnakera sana nyie wamalaya mnaboa . Samahanini ila kweli mnatia...
Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?😆
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii
Tulia maisha haya ni yakuwa na...
Kuna hili kundi la watu wanadai wameoa wengine wameolewa, lakini wako na michipuko kibao, Uzinzi kibao, sasa mmeoa nini?
Ni vituko tu huko doani kila Mtu anajaribu kuonesha uchafu wake. Watu wamechoka hatari, wamepoteza Nuru.
Ni watu wachache ndo wana-Enjoy Ndoa, wengi wao uchafu na kuleteana...
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store.
Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe...
Habari gani Wakuu
Aisee mimi kila siku nimekuwa najiuliza maswali memgi kwanini nioe yaani kwanini ? Wanaojiita Wachungaji wanatuaminisha oooh ndoa ni tamu oooh imekaa hivi ooh imekaa pale!
Hebu chukulia mtu ameolewa juzi juzi ambaye tunaamini ndoa ni tamu bado lakini anachepuka na Mume wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.