umeoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Kama umeoa mke mwenye sifa hizi, fukuza kabla mambo hayajaharibika sana

    Kama umeona mwenye hulka/tabia mojawapo kati ya hizi, basi mkeo ni kahaba, na anayafanya haya kuvutia wanaume wengine. Fukuza kabla mambo hayajakuharibikia:- 1. Anabandika kope, nyusi, kucha na kuvaa mawigi. Unadhani anambandikia nani? 2. Anavaa nguo za kubana ama zinazoonesha maungo ama nguo...
  2. Magical power

    Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze.

    Kama umeoa mwanamke mwenye kipato au unampango wa kuoa mwanamke mwenye kipato funga kamba vizuri uzikaze. Kusimama kama mwanaume ni kazi hatakama anakuonyesha heshima kiasi gani. Jambo kubwa unalofaa kufanya ni kutoweka budget ya kipato chake kwenye kuendesha familia yenu. Stand as a man...
  3. TheForgotten Genious

    Umeoa halafu unamzuia binti wa watu asifanye kazi na huna uwezo wowote kifedha. Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?

    Kuna vijana mimi nawaona wa hovyo sana,utakuta kaoa mke ana Taaluma yake ,yeye maisha yake ni yakubangaiza mwenzangu na mimi kama sio zaidi ya mimi lakini anamzuia mke wake asifanye kazi kwa kuajiriwa na anakuwa mbogo,ukimuangalia mwanamke kachokaaa na Ana taaluma yake Angeweza kupambana...
  4. L

    Kama umeoa tafuta na kamchepuko Kwa akili

    Ndugu ukiwa na mke hata akionyesha ni mwaminifu kiasi gani tafuta mchepuko.Mchepuko unafaida zifuatazo,unaact kama buffer na kimsingi unasaidia kujifanya ndoa yako iwe stable zaidi. Mfano badala ya kukaa home unagombana na mke wako aliyenuna unachomoka unaenda Kwa mchepuko anakupeti peti...
  5. Prakatatumba abaabaabaa

    Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

    Haya mambo hayana formula lakini odd kubwa za kuchapiwa zimelala kwa watu waliiooa watumishi, yaani 60% Huwa ni dhaifu saana so kupigiwa ni kugusa tu. Imani yangu inaniambia kwamba Mwanamke hawezi kucheat kwa bahati mbaya yaani lazima kuwepo na sababu ya yeye kucheat, lazima atengenezewe...
  6. Unique Flower

    Wanaume kama umeoa hii inakuhusu

    Naswali la heshima why mnacheat. Na mna mke mwema, mke anakupenda na kukusaidia, nakukujali anakuzalia anafanya uitwe baba fulani. Ila nyie kazi kuwa malaya tu ndio kazi yenu, sijui kwanini mnaoa yanini kama hamjui shida zake. Mnakera sana nyie wamalaya mnaboa . Samahanini ila kweli mnatia...
  7. DR HAYA LAND

    Kaka Kama umeoa we tulia tu na moron maana nyumba ndogo ni kubwa kuliko nyumba kubwa

    Kama umeoa tulia tu na mkeo , maana nyumba ndogo Ni kubwa kuzidi nyumba kubwa . Mnaweza Kupata ushauri kwa wenye nyumba ndogo.
  8. Unique Flower

    Inakuwaje umeoa halafu unamwambia mwanamke mwingine "I love you?"

    Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?😆 Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani? Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii Tulia maisha haya ni yakuwa na...
  9. DR HAYA LAND

    Unajisifu umeoa huku unafanya uzinzi sasa ndiyo nini?

    Kuna hili kundi la watu wanadai wameoa wengine wameolewa, lakini wako na michipuko kibao, Uzinzi kibao, sasa mmeoa nini? Ni vituko tu huko doani kila Mtu anajaribu kuonesha uchafu wake. Watu wamechoka hatari, wamepoteza Nuru. Ni watu wachache ndo wana-Enjoy Ndoa, wengi wao uchafu na kuleteana...
  10. Unique Flower

    Umeoa unamke mchepuko wanini??

    Tuambiane mchepuko wanini??
  11. Sky Eclat

    Wanaume ni kwanini hampendi kuoa wanawake wanaokunywa pombe na ikitokea umeoa unaamua anywee nyumbani?

    Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store. Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta amelewa to the top. Alikua amevaa kitenge kifuani, mume aliwaka kwani ameanza kumtune mama awe...
  12. Redpanther

    Tukisema ndoa zimekosa mvuto na thamani mnakataa na kutuuliza "umeoa"?

    Habari gani Wakuu Aisee mimi kila siku nimekuwa najiuliza maswali memgi kwanini nioe yaani kwanini ? Wanaojiita Wachungaji wanatuaminisha oooh ndoa ni tamu oooh imekaa hivi ooh imekaa pale! Hebu chukulia mtu ameolewa juzi juzi ambaye tunaamini ndoa ni tamu bado lakini anachepuka na Mume wa...
  13. mkulungwa03

    Elimu ya bure ya ndoa: Kama umeoa au umeolewa pitia hapa

    Mwanaume unatakiwa umzidi mwanamke vitu vitatu. 1,👉Pesa 2,👉Akili 3,👉Umri Mwanamke unatakiwa kumzidi mwanaume vitu vitano. 1,👉Subira 2,👉Usafi 3,👉Mipango 4,👉Upendo 5,👉Nguvu ya maombi Ili mdumu mnatakiwa kufanana kwenye vitu hivi. 1,👉maelewano 2,👉uvumilivu 3,👉heshima
Back
Top Bottom