umiliki wa ardhi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Makonde plateu

    Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

    Kubali au ukatae wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania,kabila tajiri,kabila la watu wakarimu na kabila la watu wanaojielewa sana na pia kabila ambalo halina ubinafsi kama makabila mengine. Yaani kuna mikoa mingine ukienda kutafuta pesa au maisha wenyeji hawakuruhusu kumiliki ardhi wala...
  2. Ezra cypher

    Zamani viwanja vilikuwa unaamka asubuhi unaenda kuwahi, ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki hadi sasa

    Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe. Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono. Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana . Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi...
  3. Superbug

    Je, fomu ya kupokea kiwanja ili uanze kulipa deni la serikali ina-expire baada ya muda gani tangu kukabidhiwa?

    Umeenda manispaa umepimiwa kiwanja kwenye mradi na hakina mgogoro baada ya hapo unakabidhiwa fomu ya kupokea kiwanja ambayo ina details zifuatazo: 1. Jina la mmiliki 2. Ukubwa kwa sqm 3. Mahali kilipo (block ABC) 4. Aina ya matumizi kama ni makazi pekee au makazi na biashara. Na mwisho pale...
Back
Top Bottom