Ndugu zangu habari, mm ni kijana wa almost 40 nipo katika ndoa kwa takriban miaka zaidi ya nane na tuna watoto kadhaa na mke wangu.
Kutokana na aina ya biashara zangu za safar zangu ilinilazimu nitafute lesen ya kumiliki BUNDUKI nikapata lesenu zaid ya moja.
Mke wangu kwakel huwa hapend hata...