Umeenda manispaa umepimiwa kiwanja kwenye mradi na hakina mgogoro baada ya hapo unakabidhiwa fomu ya kupokea kiwanja ambayo ina details zifuatazo:
1. Jina la mmiliki
2. Ukubwa kwa sqm
3. Mahali kilipo (block ABC)
4. Aina ya matumizi kama ni makazi pekee au makazi na biashara.
Na mwisho pale...