Tuzifahamu baadhi ya makampuni yanayomiliki timu zaidi ya moja duniani
1) The City Football club (CFG)
Hawa jamaa wanamiliki timu 13 ambazo ni
Man city ( Eng)
New York City fc (USA)
-Melbourne FC (Australia)
- Yokohama F. Marinos (Japan)
-Montevideo City Torque (Uruguay)
-Girona (Spain)...