umoja party

The Umoja Party was a far-left political party in the District of Columbia.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyankurungu2020

    Pre GE2025 Ushauri: Luhaga Mpina CCM wakizingua we komaa na Umoja party. 2025 maajabu yatafanyika

    Usitishike wala kufeel vibaya Watanzania tunaopinga maovu na upigaji tupo nyuma yako. Yale 1995 ya marehemu Agustine Mrema huenda yakajirudia 2025. Wewe komaa usitishwe na Mafisadi. Hii nchi ni ya Watanzania.
  2. Justine Marack

    Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

    Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli. Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu. Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe. Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
  3. J

    Kwanini CCM inaiogopa Umoja Party na hawawaogopi CHADEMA wala ACT Wazalendo?

    Ukifuatilia kwa makini utagundua hofu ya CCM iko kwa Umoja Party tu na wala siyo kwa Vyama vingine vya Upinzani kama CHADEMA na ACT Wazalendo Bado nafanya utafiti nijue Ndani ya UP kuna nini kinachotisha tofauti na Vyama vikongwe Mungu ni Mwema wakati wore!
  4. D

    Rais Samia fanya maridhiano pia na "Umoja Party", usidanganye kuwa kimekufa

    Kinachoendelea kwa Serikali ya CCM na CCM yenyewe ni mwendo wa maridhiano ili nchi itulie kila anayekula na kipofu asiguswe mkono. Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate...
  5. RingaRinga

    Umoja Party walikuja kuzima harakati halali

    Enyi viongozi wa vyama na wanasiasa, Nataka niwaambie ukweli mchungu: Mpaka sasa hakuna chama kilichojipambanua kuwakilisha mawazo ya wananchi wengi, Kama wananchi watapiga kura 2025 watapiga kura za visilani tu, usishangae hata vyama visivyopata kura nyingi vikapata kura nyingi kuliko wakati...
  6. Justine Marack

    Mbona Chama cha Umoja Party kipo kimya?

    Mbona kimya ghafla? Nini tatizo wandungu? Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani. Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa. UMOJA party kinawanachama kabla ya kusajiliwa, ni chama...
  7. J

    Kama wamegoma kusajili Umoja Party tuhamie TLP

    Chama cha Umoja Party ambacho ndio kilikuwa chama cha kutetea legecy ya Jemedari Hayati Magufuli kimekataliwa kupewa usajili licha ya kuwa na vigezo vyote Ni dhahiri serikali ya sasa inaogopa nguvu ambayo chama hiki kingekuwa nayo na kingeitoa CCM madarakani Sasa kwa kuwa chama cha TLP...
  8. M

    Sisty Nyahoza, kwanini unawafanyia mtimanyongo Umoja Party? Hujui kuwa watanzania wanahitaji ukombozi?

    Umesahau wewe kama mtanzania ulishuhudia pesa nyingi za walipa kodi na Watanzania wanyonge zilikuwa zinaliwa na mafisadi wa CCM? Ila kuna Kiongozi alikuja akawabana na hao mafisadi na akafanyiwa fitina kubwa. Watanzania wanahitaji chama ambacho kitalinda rasilimali zao na kutetea maslahi ya...
  9. Idugunde

    Orodha ya wanasiasa ambao inasadikiwa watajiunga umoja party huko mbeleni watatujuza mengi na kubadili upepo wasiasa

    Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani 👇 1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili. 2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka. 3. Dk . Bashiru...
  10. S

    Umoja party imekufa kabla ya kusajiliwa

    Kosa kubwa lililofanywa na kundi hili (lililoanzisha hiki chama) ni kuweka picha ya mtu aliyeumiza watu wa makundi tofauti tofauti nchi hii kwenye kofia na tshirt za chama chao. Mtu waliyemuweka kama nembo aliumiza:- - WAKULIMA . huyo mtu aliwatesa wakulima kwa kukataza wasiuze mazao yao mahala...
  11. Dp800

    Ofisi za Umoja Party

    Amani ya Mungu ipitayo amani zote iwe nanyi wapendwa, Naomba kujuzwa zinakopatikana ofisi za chama cha Umoja (Umoja Party) Ninawiwa kushirikiana nao kusukuma mbele gurudumu la kuzijenga upya siasa za taifa la Tanzania. Nimetafakari na kujihoji na mwisho nimefikia lengo la kutaka kuingia...
  12. S

    Utabiri: Halima Mdee na Wenzake 18 watahamia ACT Wazalendo au Umoja Party kama sio kuteuliwa Serikalini

    Huu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA. Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa. Muda...
  13. figganigga

    Je, Chama kipya cha Umoja Party kinaratibu upandaji bei wa Mafuta?

    Salaam Wakuu, Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama. Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama...
  14. C

    Je, ni Umoja Party, ama tusubiri kingine?

    Ccm imechokwa na kila mtu asiyekuwa fisadi, mnufaika wa ufisadi na asiyekuwa mwana ccm. Watanzania wamekuwa wakisubiri Chama cha Ukombozi kutoka madhira ya ccm. Je ni Umoja Part, ama Kingine? 1). Katika Umoja Party, ni muasisi pekee ndie mmiliki wa chama ama ni chama cha watu na kila mtu...
  15. chiembe

    Usajili wa Umoja Party unakawia kwa sababu Polepole kahamia Malawi?

    sponsor wa chama Yuko ughaibuni, alitumia posho za ubunge kukianzisha, hajamaliza, kahamishwa, ubalozi milioni 5 kwa mwezi
  16. L

    Lwaitama: Sishangai Msigwa kumsifia Rais wa nchi hasa wa CCM

    mi ni miongoni mwa waliomsifia Rais Samia Kwa baadhi ya mambo Kama hili la kuleta demokrasi angalau Kwa asilimia 35 , ni vizuri Kabisa kuona hata ndani ya Chama kuna wanaotofautiana mawazo na yajibiwe Kwa heshima si matusi. Leo nimemuona Mbunge mstaafu wa Iringa mjini akisifia Royal tour ni...
  17. Nyankurungu2020

    Ushauri kwa Mwita Waitara na wengine mtaoenguliwa kwa majungu na CCM 2025, andaeni mkakati wa kuhamia Umoja Party na mtarudi bungeni

    Muanze mapema kabisa kuandaa mikakati ya maana kujiunga Umoja party na baada ya kuenguliwa mkigombea mtarudi bungeni kwa urahisi mno. Picha ipo wazi kabisa maana kila mtanzania mzalendo hawezi kuunga mkono haya yanayoendelea sasa.
  18. britanicca

    Ya Kabendera Aman upendo tukielekea mwaka Mpya, tusihukumu

    Nilijitahid sana kutoandika siasa lakini Imenibidi. Tulimhukumu sana Kikwete kuwa na mchezo mchafu wa kukata na kuendesha chama Vibaya kumbe tulikosea. Mwaka ujao ni wa Uchaguzi tutashuhudia mpasuko Mkubwa wa CCM hata kama watashinda lakin si kwa kishindo, na mpasuko huo ni mkubwa kuliko watu...
  19. F

    Kuna Sifa nyingi Kwenye social media Kuhusu Chama kimpya kiitwacho Umoja Party

    Kuna Sifa nyingi zinasemwa kuhusu ujio wa Chama kimpya kiitwacho Umoja Party lakini sifa kubwa inayoongelewa sana ni kuwa Chama hiki kitakuwa na mlengo wa hayati DR. John Pombe Joseph Magufuli. Wanaoandika Kwenye mitandao wanajinasibu kuwa Chama hiki kitazoa wafuasi wengi na kushinda uchaguzi...
Back
Top Bottom