umoja wa wanawake tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Pre GE2025 Lindi: Mbunge wa Viti Maalum achangia bati 90 ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Nachingwea

    Tarehe 3 Machi 2025 Maimuna Pathan, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Lindi, amekabidhi bati 90 kuunga mkono juhudi za ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Nachingwea. Bati hizi ni sehemu ya michango ya Pathan katika kuendeleza maendeleo ya Wilaya ya...
  2. T

    Pre GE2025 Mbunge wa Mbarali awataka UWT kutangaza habari za Rais Samia hadi msibani

    Wakuu vibweka ni vingi sana huu mwaka, Mbunge wa jimbo la Mbarali Bahati Ndingo amewataka wanawake wa UWT kusambaza habari na mambo anayoyafanya Rais Samia, wakiwa kwenye shughuli mbalimbali ikiwemo msibani Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa...
  3. Ojuolegbha

    Kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la UWT Taifa kufanyika Julai 4, 2024

    Kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la UWT Taifa.
  4. Ojuolegbha

    Mdahalo wa kutathimini Nafasi ya Mwanamke wa Tanzania katika Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika Mdahalo wa kutathimini Nafasi ya Mwanamke wa Tanzania katika Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania ulioandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) ukumbi wa Mlimani...
  5. NALIA NGWENA

    Mwenyekiti na Katibu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) yawapasa mjiuzulu nyadhifa mlizochaguliwa na wapiga kura wenu kutoka

    Bila kukupesa macho niende moja kwa moja kwenye pointi hapo juu Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza. UWT ni umoja wa wanawake Tanzania hakika ni moja Kati ya jumuiya yenye nguvu kubwa sana katika Chama Cha mapinduzi maana wanawake ni jeshi kubwa. Nimesikitishwa sana siku ya wanawake duniani...
Back
Top Bottom