Wataalam wa malezi naombeni msaada wenu
Na huwa nipo bize kumuwekea katuni na muvi za watoto kwenye flash, nimemnunulia game ya tv (playstation), kwenye tv nimembana aangalie zaidi mpira na mieleka tu. hakuna simu wala internet.
Jana nikiwa sebuleni nilikuwa nacheki tv, sikuiona rimoti ikabidi...