umri wa mrithi wa mafao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Tumenyimwa mafao ya mirathi NSSF, tumeambiwa ni mali ya Serikali na NSSF

    Habari, Nimeenda NSSF kufuatilia mafao ya mirathi ya marehemu mzazi wangu aliyefariki akiwa kazini bado lakini cha kushangaza NSSF wanasema hatuna haki ya kupata mirathi hiyo kwasababu watoto wake tumezidi miaka 18 na hizo pesa ni mali ya serikali na NSSF. Naomba kujua hii sheria imeanza lini...
  2. A

    Pensheni ya urithi ya NSSF kwa mtoto mwenye miaka zaidi ya 21 hatakiwi kupewa?

    Mimi ni mtoto wa marehemu ambaye alikuwa mwanachama wa NSSF amefariki akiwa na umri wa miaka 57 lakini alikuwa bado hajastaafu. Marehemu hakuwa na mume, na wazazi wake wote wawili walishafariki na sisi tupo wawili, lakini wote tuna miaka zaidi ya 25. Nimeenda kudai mafao NSSF Ilala...
Back
Top Bottom