UMUHIMU WA ELIMU.
Dunia ya leo inahitaji utaalam/ufundi wa namna nyingi/Mbalimbali kwa mtu mmoja ili afanikiwe na kuwa kivutio katika soko la ajira na kuweza kwenda na wakati kulingana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia. Ndio maana waswahili husema kuwa “Mgaagaa na upwa hali wali mtupu...
Kwa upande wangu natamani sana kuona wanafunzi hasa kwanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita wanapewa elimu ya kutosha ya kujitegemea.
Kwamfano nchi yetu kuna washauri na watu waliobobea kwenye masuala ya teknolojia ya mtandaoni, pia watengeneza maudhui
Ukweli mchungu kwa mazingira ya Tanzania elimu haina maana yeyote.
Watu waliosoma vizuri uko nyuma asilimia kubwa wapo nje ya nchi wanafanyakazi na kulipwa vizuri
Waliobaki Tanzania wengi ndo wameshikilia serikali elimu yao na vyeti vyao ni tiamatiamaji!!
Mtu alipata four ya 28 akasoma...
Ripoti ya George Land wa NASA 1960 Inawezekana ndio ikawa muarobaini wa matatizo yetu yote kama nchi ambayo msingi wake ni aina ya elimu. Katika utafiti huo George Land aligundua mfumo wa elimu ndio unaua ubunifu kutoka 98% hadi 2%. Ni utafiti ambao waziri wa elimu hapaswi kulala bila kuuwaza...
UMUHIMU WA ELIMU.
Dunia ya leo inahitaji utaalam/ufundi wa namna nyingi/Mbalimbali kwa mtu mmoja ili afanikiwe na kuwa kivutio katika soko la ajira na kuweza kwenda na wakati kulingana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia. Ndio maana waswahili husema kuwa “Mgaagaa na upwa hali wali mtupu...
Nchini Tanzania, mapambano dhidi ya HIV/AIDS miongoni mwa vijana wenye umri wa miaka 15-25 yanabaki kuwa kipaumbele muhimu katika afya ya umma. Kulingana na data za hivi karibuni, kiwango cha maambukizi ya HIV miongoni mwa wanawake vijana katika kundi hili ni takribani 3.4%, wakati miongoni mwa...
Nimetafakari kinachoendelea nchini Kenya na uwezo wa vijana hao (Gen - Z) kudai haki zao kikatiba.
Hali hii imekua tofauti katika nchini yetu licha ya kukabiliwa na chanagmoto zinazofanana na wenzetu; vijana hawana habari kabisa na masuala ya msingi ya haki za kikatiba; hawahoji, wapo busy na...
📣📣📣📣📣📣📣
Maisha na Mafunzo Muhimu kwa Kila Mtu, Jitathmini.
1. Hakuna atakaye kuja kukuokoa. Simama imara, Kuwa shujaa.
2. Usilazimishe mtu yeyote akuchague. Utajifunza kutumia muda peke yako.
3. Dhibiti hisia zako. Akili tulivu inaweza kushughulikia hali yoyote.
4. Ili kuepuka kukatishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.