umuhimu wa elimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ukwaju_wa_ kitambo

    Umuhimu wa Elimu katika Jamii

    UMUHIMU WA ELIMU. Dunia ya leo inahitaji utaalam/ufundi wa namna nyingi/Mbalimbali kwa mtu mmoja ili afanikiwe na kuwa kivutio katika soko la ajira na kuweza kwenda na wakati kulingana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia. Ndio maana waswahili husema kuwa “Mgaagaa na upwa hali wali mtupu...
  2. Massawejr

    Nafasi ya upendeleo

    Kwa upande wangu natamani sana kuona wanafunzi hasa kwanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita wanapewa elimu ya kutosha ya kujitegemea. Kwamfano nchi yetu kuna washauri na watu waliobobea kwenye masuala ya teknolojia ya mtandaoni, pia watengeneza maudhui
  3. technically

    Sioni umuhimu wa elimu Tanzania

    Ukweli mchungu kwa mazingira ya Tanzania elimu haina maana yeyote. Watu waliosoma vizuri uko nyuma asilimia kubwa wapo nje ya nchi wanafanyakazi na kulipwa vizuri Waliobaki Tanzania wengi ndo wameshikilia serikali elimu yao na vyeti vyao ni tiamatiamaji!! Mtu alipata four ya 28 akasoma...
  4. c_alphonce

    Umuhimu wa elimu yetu kuzingatia ubunifu

    Ripoti ya George Land wa NASA 1960 Inawezekana ndio ikawa muarobaini wa matatizo yetu yote kama nchi ambayo msingi wake ni aina ya elimu. Katika utafiti huo George Land aligundua mfumo wa elimu ndio unaua ubunifu kutoka 98% hadi 2%. Ni utafiti ambao waziri wa elimu hapaswi kulala bila kuuwaza...
  5. ukwaju_wa_ kitambo

    Umuhimu wa elimu katika jamii

    UMUHIMU WA ELIMU. Dunia ya leo inahitaji utaalam/ufundi wa namna nyingi/Mbalimbali kwa mtu mmoja ili afanikiwe na kuwa kivutio katika soko la ajira na kuweza kwenda na wakati kulingana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia. Ndio maana waswahili husema kuwa “Mgaagaa na upwa hali wali mtupu...
  6. Golden Elimeleck

    SoC04 Umuhimu wa Elimu Kamili ya Kijinsia ili Kupunguza Maambukizi ya HIV Miongoni mwa Vijana Wenye Umri wa Miaka 15-25 nchini Tanzania ifikapo 2040

    Nchini Tanzania, mapambano dhidi ya HIV/AIDS miongoni mwa vijana wenye umri wa miaka 15-25 yanabaki kuwa kipaumbele muhimu katika afya ya umma. Kulingana na data za hivi karibuni, kiwango cha maambukizi ya HIV miongoni mwa wanawake vijana katika kundi hili ni takribani 3.4%, wakati miongoni mwa...
  7. K

    SoC04 Je, kuna umuhimu wa elimu ya kutambua haki za kikatiba wa Watanzania?

    Nimetafakari kinachoendelea nchini Kenya na uwezo wa vijana hao (Gen - Z) kudai haki zao kikatiba. Hali hii imekua tofauti katika nchini yetu licha ya kukabiliwa na chanagmoto zinazofanana na wenzetu; vijana hawana habari kabisa na masuala ya msingi ya haki za kikatiba; hawahoji, wapo busy na...
  8. third eye chakra

    Maisha na mafunzo muhimu kwa kila mtu

    📣📣📣📣📣📣📣 Maisha na Mafunzo Muhimu kwa Kila Mtu, Jitathmini. 1. Hakuna atakaye kuja kukuokoa. Simama imara, Kuwa shujaa. 2. Usilazimishe mtu yeyote akuchague. Utajifunza kutumia muda peke yako. 3. Dhibiti hisia zako. Akili tulivu inaweza kushughulikia hali yoyote. 4. Ili kuepuka kukatishwa...
Back
Top Bottom