umuhimu wa mazoezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Charlez kanumba

    Jinsi nilivyoanza kuwa mtu wa mazoezi ya mwili/ push ups mpaka kuwa na sexy body

    Nakumbuka nilianza kwa kuning'nia juu ya paa la nyumba kisha kupush mwili wangu ups&down, then push ups 80 hadi 120 kila siku. Nikawa nachelewa kuamka sababu mazoezi sikuyazoea hivyo nilikuwa nasikia uchovu sana na mgongo pamoja na mbavu ziliniuma sana. Ilipo timia miezi 3 tangu kuanza...
  2. ndege JOHN

    Nipe sababu kwanini hufanyi mazoezi

    Mbona maji umejua faida yake na ndo maana unayanywa Kwa bidii na chakula bora una jitahidi kuupatia mwili wako lakini kwanini nguzo moja ya afya bora unaipotezea? Nayo ni kufanya mazoezi walau ya ku kutoa jasho everyday hasa ya kukimbia kimbia maana ndo rahisi hayachoshi ni safe sana kukimbia...
  3. J

    Je, unafahamu kufanya mazoezi kwa takriban dakika 150 au zaidi kwa wiki kunaweza kurefusha maisha yako?

    Kwa mujibu wa utafiti wa Harvard, kufanya mazoezi mara kwa mara kunaweza kuongeza muda wa kuishi! 🌟 Mazoezi yanafaida nyingi kwa afya yetu, ikiwa ni pamoja na: Kuboresha afya ya moyo ❤️ Kupunguza hatari ya magonjwa sugu kama kisukari na shinikizo la damu 🚫 Kuboresha mfumo wa kinga 🛡️...
Back
Top Bottom