umuoe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Utachukua hatua gani wazazi wako wakimkataa mpenzi wako ambaye unataka umuoe au kuolewa naye

    Utachukua hatua gani wazazi wako wakimkataa mpenzi wako ambaye unataka umuoe au kuolewa naye Twende kazi wadau na maoni yenu
  2. Teslarati

    Akishafanya starehe za kila aina na akachezewa na kuzalishwa ndipo atatulia na kusubiri 'Mr Nice Guy' uje umuoe au umuweke ndani

    Wanaume wenzagu tuweni makini sana na hawa viumbe. Huko kwenye viwanja vya starehe kunatisha, wanawake wanakunywa pombe kali, wanavuta bangi, sigara, shisha nk, Hapohapo kuna wale wa mitaani ambao wakiwa bado wabichi wanaringa sababu wanataka kuonja onja pesa za wanaume wengi. Sasa hawa...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Mwanamke lazima Abadili Dini na Imani Ili ifanane na yako ndipo umuoe.

    MWANAMKE LAZIMA ABADILI DINI NA IMANI ILI IFANANE NA YAKO NDIPO UMUOE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Moja ya ishara za awali Kwa Mwanamke anayekupenda na anayeweza kuwa Mkeo ni kukuamini, na kuamini Kwa kile ukifanyacho na kile unachokiamini. Kwa Mwanamke Hisia na Imani vinaenda sambamba...
  4. Billy Kimber

    Je, uanzishapo mahusiano/umuoe nani kulingana na nyota yako?

    Elimu ya nyota/Unajimu (Astrology) ni elimu kama zilivyo elimu nyingine japo wapo wanaoihusianisha na imani za giza lakini fikra hio nafikiri ni potofu.Unajimu ni uhusiano wa nyota na maisha ya binadamu.Hasa hasa tunaangalia mahusiano ya wakati wa kuzaliwa na sayari zilizopo katika mfumo wa jua...
Back
Top Bottom