unajimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Elimu ya kusoma nyota (unajimu) inaruhusiwa katika Ukristo?

    Ukisoma biblia mamajusi(wanajimu) watatu kutoka mashariki walisoma na kuifuata nyota kutoka mashariki iliyowaongoza kutoka mashariki walipokuwepo hadi Bethlehemu alipozaliwa mfalme wa Wayahudi(Yesu Kristo). Je ni sawa kwa mkristo kushiriki kwa namna yoyote katika usomaji nyota(unajimu)?
  2. J

    SI KWELI Sheikh Yahya Hussein alitabiri baada ya Rais Mwanamke kumaliza Mihula yake Upinzani utaongoza nchi

    Kwanza Kabisa nawatakieni ninyi nyote Sabato yenye Baraka. Nimesoma mahali kwamba Mtabiri wa taifa enzi za Nyerere Shehe Yahya Hussein alitabiri Uongozi ujao kuanzia awamu ya 4 hadi ya 6 Watatawala CCM lakini awamu ya 7 atachaguliwa Kiongozi wa Upinzani Kuongoza nchi Kwamba mwisho wa CCM. Je...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…